kiswahili kitukuzwe!

nani ashachukua muda wake na kukaa chini ili kutafakari jinsi kiswahili ni lugha tamu isiyo kifani. mimi binafsi nimejaribu nikashindwa. wakati mwingine mimi hutamani kungelikuwa na njia zingine nyingi za kukijua kiswahili kando na njia ile moja tuijuayo,...KUSOMA,KUELEWA NA KUANDIKA. Kwa mfano kiswahili kingekuwa kiingereza na kiingereza kiwe kiswahili,unadhani watu wangeongea kwa usanifu na bila shida yeyote? sababu za watu kutopenda kiswahili hazijulikani wala kutambulika. mara kwa mara mimi huskia kutoka sehemu mbali mbali, "kiswahili ni ngumu,eh siwesmek!"..."ati kuchanganya ndimi na kuzorota kwa lugha!"not even appealing to the tongue that says it neithr is it to the
http://accounts.google.co.ke/accounts/SetSID?ssdc=1&sidt=ALWU2cus%2Ft6%2B7WCl8UOhksTkp6NV8VlUmMlhY2YcYcqO7FsP4IvtmOKobL4TMYhLExoj3iQ0TnJLWSPhP8b0krj3C0nuo0ZW7lnnhpXvr0eAYukFVqfm2vkAAVYvDutnogqGME1ZqX3SE%2BNrh1bUasaXBBHewiyuu8%2B3sHO%2Bv1vQScijLHLdoJy1wUlcM1S6ImniiERt7j1Ps3Gur6%2Fkf5tHHKOpGbP8cqcftyAp1MGzlU16l9G87vb%2FVKd9KWfyYqBwBcvUBYHklYY%2FV4%2FfGsgB24%2FdyBphvnX2J1FxJqtnvUKGN7MHtrybfD%2BtclEdKdHuj51GO9bs&continue=http%3A%2F%2Fwww.blogger.com%2Fstart%3FsuccessUrl%3D%252Fblog-this.g%26auth%3DDQAAAIIAAAA7uUqHQv7Caki57dW3AzDPz3BSFWDRPPoOQHbXL70TQykIehBgPRwhKWQzQOP3yGiM5XatxCweflgbsyP9uexOof52uwQ5m1MBLN-p5hYuqjEVP8hdLeCAp4mR-5S3vSk07VJwBJb4CPJtPLc2LzOLS3jWJeQbOnubtYXUV1M9jjqEFzE31KOvoJPlNFJ368E

Comments

Popular Posts